Mwandishi Bin Zubery http://bongostaz.blogspot.com ambae ndio alipata ruhusa ya kulipiga hili gari picha ameandika ‘Gari aina ya Brabus ambayo inayomilikiwa na mmiliki wa klabu ya Manchester City ya England imeonekana leo Dar es Salaam lakini ni mali ya Yussuf Bakhresa, mtoto wa bilionea Mtanzania Alhaj Sheikh Said Salim Awadh Bakhresa ambapo vyanzo vimesema Yussuf alitoa oda maalum kutengenezewa gari hili.
airport jogging
mavazi
aus521
aus9
Monday, May 18, 2015
Stori ya Town…. picha 8 za gari jipya la mtoto wa Bhakresa
Mwandishi Bin Zubery http://bongostaz.blogspot.com ambae ndio alipata ruhusa ya kulipiga hili gari picha ameandika ‘Gari aina ya Brabus ambayo inayomilikiwa na mmiliki wa klabu ya Manchester City ya England imeonekana leo Dar es Salaam lakini ni mali ya Yussuf Bakhresa, mtoto wa bilionea Mtanzania Alhaj Sheikh Said Salim Awadh Bakhresa ambapo vyanzo vimesema Yussuf alitoa oda maalum kutengenezewa gari hili.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment