BAADA YA KUSINGIZIWA KUKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA BRAZIL ASHA BUI AONEKANA SALOON SINZA....
Mwadada huyo ambaye tayari ameigiza filamu kadhaa na mastaa wenzake alionekana kwenye saloon ya Salma Jabu(Nisha) akiwekwa sawa nywele zake kama anavyoonekana pichani.
No comments:
Post a Comment