MASTAA 20 WA TANZANIA WENYE USHAWISHI MKUBWA KWA MUJIBU WA USWAZI.COM
Uswazi moja ya mitandao maarufu ya burudani nchini imetoa orodha yake ya
mastaa 20 wenye ushawishi mkubwa(20 most influential stars). mastaa hao
wanatoka katika urembo, mitindo, uigizaji na muziki huku Wema Sepetu
akiwa ndiye kinara kwa kushika namba 1. Wengine ni Masanja, Vanesa Mdee,
Madam Rita, Jacob Stephen(JB), na wengineo. kwa msaada zaidi ingia hapa
uone list hiyo kwa mujibu wa mtandao huo
www.uswazi.com
No comments:
Post a Comment