airport jogging

mavazi

aus521

aus9

Sunday, November 16, 2014

Picha za Model Maarufu Bongo Calisa Akiwa na Miss Sinza Wakiwa Kitandani zavuja Mitandaoni….


KABAANG! Miss Sinza 2001 na aliyekuwa pia mshiriki wa Miss Tanzania 2011, Husna Maulid amenaswa akiwa kimalovee laivu kitandani na modo maarufu Bongo aliyejulikana kwa jina moja la Calisa.
Miss Sinza 2001, Husna Maulid akila ujana na modo maarufu Bongo anayejulikana kwa jina moja la Calisa.
Miss Sinza 2001, Husna Maulid akila ujana na modo maarufu Bongo anayejulikana kwa jina moja la Calisa.

calasaPicha hizo ambazo zinamuonesha Husna na Calisa wakiwa wamekumbatiana zimevuja kiitelejensia na kumfikia paparazi wetu kisha akawauliza kulikoni?  Ni wapenzi?
Modo, Calisa
Modo, Calisa
“Siyo kweli sina uhusiano na Calisa, sina boyfriend na sitaki mwanaume kwa sasa, Calisa ni rafiki yangu tu,” alijibu Husna huku Calisa akijibu:
Husna Maulid.
Husna Maulid.
“He hebu ngoja kwanza nitakupigia, hizo picha kaleta nani?”

No comments:

Post a Comment