airport jogging

mavazi

aus521

aus9

Wednesday, November 5, 2014

UMESHAWAHI JIULIZA KWANINI BAADHI YA DADA ZETU WAKIPIGA PICHA WANAGEUZA MAKALIO YAO? JIBU HILI HAPA

Mwanamke anayejiamini huonekana wa Tofauti katikati ya wanawake wengi... Silaha pekee kubwa anayopaswa kuivaa mwanamke yoyote ni CONFIDENCE...Mwanaume anapoangalia Sifa za nani anapaswa kuwa ubavu wake anaangalia kwanza Sifa Hii...Utashangaa wenzio wote wanawezaje na wewe unashindwa nini,Jibu ndio hiloMakalio Makubwa bila Confidence ni sawa na Al Shabaab bila Silaha...Inashangaza mwanamke na akili zake anapoteza muda,anajivunia Shape,''Oh nimebarikiwa,Nimejazia,Nna shape ya Ukwee' wakati kichwani zero ana akili za moto kama uji wa uleziHayo Makalio zaidi ya kukalia makochi yangu na kuyazeesha Mapema kwa uzito usio na Maana kuna lipi la zaidi...

MIUJIZI YA KARNE: SHEKH SHARIF KHAMIS WA TANZANIA AONYESHA MIUJIZA NDANI YA MELI ..MANAHODHA PAMOJA NA ABIRIA WADUWAA

Shekh Sharif Khamis hapa ndipo alipowaacha watu midomo wazi na mshangao baada ya kuendesha Meli wakati hajawahi kusomea urubani.  Maelfu ya wakazi wa mji wa Goma wakiwa kwenye muhadhara kumsikiliza miujiza ya uponyaji wa dua za Shekh Sharif Khamis. Na Sharifa Abdalah- Bukavu Kongo Ukisikia hizi habari kwenye radio unaweza usiamini unaweza ukadhani ni kichekesho ama hadithi lakini ni kweli yametokea, kijana wa kitanzania Shekh Sharif Khamis ambae kadri anavyokuwa kiumri ndipo anazidi kufanya miujiza ya kipekee na ya kuogopesha. Akiongea na Maskanibongotz mwandishi wetu aliyeko mji wa Bukavu Shekh ...

MSAADA JAMANI, UVAAJI WA CHENI MIGUU YOTE MIWILI VIKUKU KWA WANAWAKE INAMAANISHA NINI??

Unaweza kuta kavaa mguu mmoja au yote miwili wao wanaita (VIKUKU) huwa zina ashilia au kumanisha nini?  Huku mtaani midume huwa tuna danganyana sana juu ya hii kitu Wengine husema ukimuona anazo pande zote huyo antoa kotekote, Ebu tupeni ukweli wana dada au ni urembo tu kama heleni......

LULU MICHAEL WA BONGO:SITUMII NGUVU NYINGI KATIKA MAPENZI

Mtoto mzuri wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akipozi. MASTAA wana mambo! Mtoto mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ametoa kali ya aina yake kwa kusema kamwe hatumii nguvu nyingi kwenye mapenzi kwa sababu yanapoteza  muda bila sababu za msingi bora nguvu zake azitunze hadi pale atakapokuwa akijifungua.Akimwaga cheche mbele ya mwanahabari wetu, Lulu alisema siku hizi wanaume wengi wanawafanya wasichana watumie nguvu kutetea penzi kutokana na migogoro isiyokuwa na msingi.“Bora nguvu zangu nizihifadhi za kuendea leba kuliko kuzipoteza katika mapenzi kwani hayo mambo yamepitwa na wakati kabisa,” alisema...

KUTANA NA NABII YASPI AWAPONYA WAGONJWA KWA KUTUMIA PAFYUMU DAR

Nabii Yaspi akiibariki moja ya pafyumu hizo.Hapa akiwapulizia wagonjwa mbalimbali. NABII wa Kanisa la The Revelation Church lililopo Buza-Kipera jijini Dar,Yaspi Paul Bendera, amefanya miujiza ya aina yake kwa kuwatibu watu kwa kutumia pafyumu ambapo watu wenye magonjwa mbalimbali walidai kupona kwa kupuliziwa pafyumu hizo. Tukio hilo lilijiri Jumapili ya Novemba 2 mwaka huu ambapo kwa mujibu wa Nabii Yaspi aliwaagiza wagonjwa wafike kanisani hapo na pafyumu kanisani hapo ili azibariki na kuwa dawa na kinga yao kwa magonjwa mbalimbali yanayowakabili1Ad Options Waandishi wetu waliokuwa kanisani hapo walishuhudia umati wa...

MAMA WEMA AFANYA SHEREHE, KISA KUTETEREKA KWA PENZI LA DIAMOND NA WEMA

CHEREKO chereko! Siku chache baada ya supastaa ‘grade one’ wa sinema za Bongo, Wema Sepetu ‘madam’ kummwaga King of Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, mama mzazi wa mwigizaji huyo, Mariam Sepetu ameangusha sherehe ya nguvu kama ishara ya kuonesha ‘amekunwa’ na tukio hilo, Ijumaa Wikienda linashuka nayo mstari kwa mstari. Supastaa ‘grade one’ wa sinema za Bongo, Wema Sepetu ‘madam’ akipozi. TUJIUNGE NA CHANZO Kwa mujibu wa chanzo makini, kutokana na mama huyo kutobariki uchumba wa mwanaye na Diamond ambaye pia anajulikana kwa jina la Dangote kwa muda mrefu, habari za uchumba huo kuvunjika zilipochapishwa kwenye Gazeti la Ijumaa ‘Kubwa’...

SHILOLE NA NUH MZIWANDA MASHAKANI KUFUNGA NDOA, IMANI YAWATENGANISHA..

IMEGUNDULIKA kuwa uhusiano wa staa wa Mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, na mpenziwe Nuh Mziwanda ni kazi bure kwani uwezekano wa kufunga ndoa kati yao haupo kutokana na kupishana imani.Ishu hiyo imejidhihirisha juzikati nyumbani kwa wawili hao Mwananyamala-Manjunju jijini Dar, baada ya paparazi wetu kuwaibukia na kutaka kujua malengo yao zaidi kama wana mpango wa kuoana au la, msikie kwanza Nuh: Staa wa Mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, akiwa na mpenziwe Nuh Mziwanda. “Mimi ninampenda Shilole kwa asilimia 100,  ila siko tayari kubadili dini kwa ajili yake maana kwetu ni wakristo na hapa naongea mama yangu ni mzee wa kanisa...

BETHIDEI YA MTOTO, MKE WA MTITU, DUDE AMKATISHA MAUNO MKEWE

Kazi ipo! Taarifa ikufikie kwamba kutoka kwenye bonge la pati la bethidei ya mtoto na mke wa mwigizaji, William Mtitu, staa wa Bongo Dar es Salaam, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amejikuta akimkatisha mauno mkewe, Eva hadharani kitendo kilichozua minong’ono mingi baada ya mwanamama huyo kufanya kweli hadi jamaa akamwambia yatosha. Mke wa mwigizaji, William Mtitu, Yovitha akiwa na mwanaye Jane. Tukio hilo lililoshuhudiwa na wanahabari wetu lilijiri nyumbani kwa Mtitu, Kigogo jijini Dar ambapo Dude alikuwa Master of Ceremony ‘MC’ wakati mke wa Mtitu, Yovitha na mwanaye Jane walizaliwa tarehe inayofanana ya Oktoba 31. Mwigizaji wa Bongo Muvi,...

MWANAMKE AISHI KINYUMBA NA WANAUME WAWILI KWA MIAKA NANE BILA KUTAMBUANA MBEYA

 Juliana Josia(22)kushoto anaedaiwa kuishi na wanaume wanaume wawili kwa zaidi ya miaka 8 bila kutambuana akiwa na Mume wake halisi Rogers ofisini kwa mtendaji  Juliana Josia(22)kushoto akiwa na barozi Dinde  Bwana Rogers akiongozana na baadhi ya viongozi wa mtaa kwenda kituo cha polisi Mwanamke mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Juliana Josia(22)amezua utata hivi karibuni baada ya kugunduliwa akishi na wanaume wawili kwa muda wa miaka minane bila wanaume hao wawili  kujitambua. Hayo yalibainika katika kituo cha Polisi Kati Jijini Mbeya baada ya Mwanamke huyo kudai kuporwa mtoto mgogoni jinsi ya kike...

Sitta: Kilichomkuta Jaji Warioba Jana Amejitakia Mwenyewe

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samwel Sitta amesema kilichomkuta aliyekuwa Mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya Katiba jana ni sawa na kujitakia mwenyewe. Akihojiwa muda mfupi uliopita na Redio Voice of Tabora kuhusu maoni yake kwa vurugu kubwa iliyoongozwa na Paul Makonda jana, Mzee Sitta amesema kimsingi wananchi walio wengi wanaunga mkono Katiba pendekezwa. Mzee Sitta amesema Jaji Warioba anapaswa kutulia kwani akiendelea anaweza kuaibishwa kuliko aliyofanyiwa jana pale Ubungo blue pearl. Mzee Sitta amemtaka Warioba awaachie wananchi Katiba pendekezwa waamue wenyewe kwa njia ya kura.Sitta ameendelea kusema watanzania...

Huyu ndie kijana wa CCM inayesemakana Kampiga Waziri Mkuu Mstafu Mzee Warioba na Chupa ya Maji Ubungo

Jambo la aibu na la kufedhehesha sana limetokea leo katika mdahalo uliondaliwa na taasisi ya mwalimu Nyerere,Ubungo. Katika mdahalo huo , vijana ambao mpaka sasa hawajafahamika walisisima gafla wote kwa pamoja wakiwa na mabango yanayopigia debe katiba inayopendekezwa na gafla fujo kubwa zikaibuka na watu kuanza kupigana.  Kada wa CCM bwana Paul Makonda, pichani, inasemekana alimpiga Mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba Mzee Joseph Sinde Walioba kwa chupa ya maji. Hili ni jambo la kwanza la aibu ya aina yake kutokea nchini kwa  kijana mdogo kumpiga waziri mkuu wa nchi na chupa ya maji. Tunatumai vyombo vya sheria...

Breaking News: Ngumi za Ibuka kwenye mdahalo mkubwa kujadili katiba inayopendekezwa

Mdahalo mkubwa ulioandaliwa na taasisi ya Mwalimu Nyerere wakatishwa ghafla baada ya kuibuka ugomvi mkubwa. Watu wasiofahamika walisimama na Mabango yaliokuwa yanaonyesha kukubaliana na katiba inayopendekezwa wakati mwenyekiti wa Tume ya mabadiliko ya katiba Waziri mkuu mstafu Jaji Warioba alipokuwa anahitimisha hotuba yake kama mchangiaji wa kwanza.  Je ni Kweli CCM wameandaa watu kwenda kumzomea Warioba...

Jee, kitendo cha ITV Kuendelea Kumpa Airtime Jaji Warioba Sio uchochezi Katiba Mpya Ikataliwe?

Namsikiliza kwa makini sana aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Kukusanya Maoni, Jaji Mstaafu, Joseph Warioba, akiizungumzia mchakato wa kuipigia kura ya maoni, ama kuipitisha katiba pendekezwa au kuikataa. Kwa vile baadhi ya maoni ya Tume ya Warioba, yalipigwa chini, it is obvious Jaji Warioba, atakuwa ni mpinzani number 1 wa katiba pendekezwa, kwa kupuuza maoni ya wananchi, yaliyopendekezwa na Tume yake. Kwa vile baada tuu ya kuwasilisha rasmi ile rasimu ya Tume ya Kukusanya Maoni, kwenye Bunge Maalum la Katiba, Tume ya Warioba, ilivunjwa rasmi!, hivyo as of now, Jaji Warioba, sio authority tena katika mchakato huu wa katiba mpya!,...

Jee, kitendo cha ITV Kuendelea Kumpa Airtime Jaji Warioba Sio uchochezi Katiba Mpya Ikataliwe?

Namsikiliza kwa makini sana aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Kukusanya Maoni, Jaji Mstaafu, Joseph Warioba, akiizungumzia mchakato wa kuipigia kura ya maoni, ama kuipitisha katiba pendekezwa au kuikataa. Kwa vile baadhi ya maoni ya Tume ya Warioba, yalipigwa chini, it is obvious Jaji Warioba, atakuwa ni mpinzani number 1 wa katiba pendekezwa, kwa kupuuza maoni ya wananchi, yaliyopendekezwa na Tume yake. Kwa vile baada tuu ya kuwasilisha rasmi ile rasimu ya Tume ya Kukusanya Maoni, kwenye Bunge Maalum la Katiba, Tume ya Warioba, ilivunjwa rasmi!, hivyo as of now, Jaji Warioba, sio authority tena katika mchakato huu wa katiba mpya!,...

MUME ACHEZEA KICHAPO TOKA KWA MKEWE BAADA YA KUKATAA KUMPA SH 1000...PICHA ZOTE HAPA

PICHA ZAIDI BONYEZA HA...
Pages (10)« 12345678 »
 
 

No comments:

Post a Comment