
kundi la orignal komedy leo wanusulika kufa baada ya ndege yao waliopanda kwaajili ya kusafiri kwenda jijini mwanza kupata itilafu wakati ikitaka kuluka mpoki ambaye ndyo kiongozi wa msafara amethibitisha hilo kwa kusema" ndege wakati inajiandaan kuluka kunandege aliingia katika engine ya moja ya ndege na kusababishia ngege hiyo kushindwa kuluka kupiga mzinga mmoja chini abiria wakaambiwa wa shuke na kusubilia matengenezo ya ndege hyo". imetolewa leo asubuhi na mapema (story by ausi9 )
No comments:
Post a Comment