airport jogging

mavazi

aus521

aus9

Wednesday, September 9, 2015

40 YA MTOTO WA SANDRA KIVUTIO

Imelda Mtema

SHEREHE ya kutimiza siku 40 tangu azaliwe mtoto wa msanii nyota wa Bongo Movies, Salama Salmini ‘Sandra’ aitwaye Khaliam zilikuwa kivutio baada ya kuhudhuriwa na mastaa na watu mbalimbali ilipofanyika nyumbani kwa wazazi wa msanii huyo, Tegeta Kibaoni, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment