airport jogging

mavazi

aus521

aus9

Thursday, October 15, 2015

ROSE NDAUKA: SITAKI KUWACHANGANYA MASHABIKI

 
Gladness Mallya
MWANADADA staa wa filamu Bongo, Rose Ndauka amesema hataki kujihusisha na harakati za siasa kwa sasa kwa vile anaogopa kuwachanganya mashabiki wake.
Mwanadada staa wa filamu Bongo, Rose Ndauka.
Akipiga stori na gazeti hili, Rose alisema kwa kuwa yeye ni kioo cha jamii anayeelimisha kupitia kazi yake, alisema kujiweka wazi upande ulipo ni kuwagawa watu wake
kitu ambacho asingependa kitokee.
“Wasanii wanaozunguka kwenye kampeni hawafanyi vibaya, lakini mimi siwezi na sikutaka kufanya hivyo ila kura nitapiga na kuhusu ni nani nitakayemchagua kuwa rais ni siri yangu,” alisema nyota huyo ambaye anakiri kuwa soko lao limeyumba.

No comments:

Post a Comment