tsa kushilikiana na skauti kutoka poland wafanya semina inyohusu msuala ya IT(mawasiliano).
skauti kutoka poland wamkutana na skauti wa tanzania katika semina mahususi ambayo inahusiana na masuasala ya mawasiliano juu ya upokeaji, kutangaza, kutengeneza, na kuunda taarifa juu ya masuala ya mawasiliano.
No comments:
Post a Comment