airport jogging

mavazi

aus521

aus9

Tuesday, October 31, 2017

“Hawapumui na wakipumua wanapumulia gerezani” – Rais Magufuli.





Hii kauli inatoka kwenye siku ya kwanza ya ziara ya siku mbili ya Rais Magufuli Mwanza, amehutubia Wananchi kwenye viwanja vya Mwatex Nyakato na moja ya nukuu za kauli zake ni hii ya “siku hizi hawapumui na wakipumua wanapumulia gerezani” tazama hii video hapa chini kupata yote mengine aliyoyasema Mr. President

No comments:

Post a Comment