
Mabinti 300 wa Shule ya Chibok walitekwa na kundi la kigaidi la Boko Haram mwaka 2014 ambapo baadhi yao walifanikiwa kutoroka licha ya wenzao kubaki na hawajulikani walipo. Kumekuwa na picha na video ambazo Boko Haram huzitoa mara chache ili kuwaumiza wazazi wao.
Kundi hilo limekuwa maarufu katika ukanda wa Afrika Magharibi kufanya vitendo vya kihalifu ikiwemo mauaji ya kinyama miongoni mwa raia. Inasemekana mabinti hao wanawatumikisha kingono.
No comments:
Post a Comment