airport jogging

mavazi

aus521

aus9

Sunday, November 16, 2014

Rais Kikwete asafiri kwa treni kwa mara ya Kwanza

Rais Kikwete ameweka historia nyingine katika ziara yake ya Mkoa wa Morogoro wakati aliposafiri kwa treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ikiwa ni mara yake ya kwanza kutumia usafiri huo katika kipindi chake cha Urais.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, jana, Alhamisi, Agosti 21, 2014, ameweka historia nyingine katika ziara yake ya Mkoa wa Morogoro wakati aliposafiri kwa treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ikiwa ni
mara yake ya kwanza kutumia usafiri huo katika kipindi chake cha Urais

No comments:

Post a Comment