airport jogging

mavazi

aus521

aus9

Wednesday, July 29, 2015

ULINZI WA OBAMA KENYA USIPIME


Ni Obama kila kona! Muda wowote kuanzia leo wananchi wa Kenya watashuhudia kutua kwa Rais wa Marekani, Barack Hussein Obama, nchini humo huku stori kubwa ikiwa ni ulinzi uliowekwa kwa hofu ya kundi ‘haramu’ la ugaidi la Alshabaab, Ijumaa linakupeleka hadi kwa majirani zetu hao.

No comments:

Post a Comment