Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya
Rufaa ya Mkoa wa Morogoro Dkt. Ritha Lyamuya alipokwenda kuwapa pole
majeruhi walioumia katika msongamano mkubwa uliotokea katika mlango wa
kutokea nje baada ya mkutano wa kampeni wa CCM katika Uwanja wa Jamhuri
mjini Morogoro jana Septemba 6, 2015. Watu wawili walipoteza maisha,
akiwemo mvulana wa miaka 12 aliyejulikana kwa jina la Ramadhani Abdallah
na mwanamama Grace George (42), ambapo jumla ya watu 17 walijeruhiwa na
kukimbizwa hospitalini hapo. Hadi jioni hii majeruhi saba walikuwa
wameruhusiwa
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Kaimu Mganga Mku wa
Hospitali ya Mkoa wa Morogoro Dkt. Samson Tarimo alipokwenda kuwapa pole
majeruhi walioumia katika mlango wa kutokea nje baada ya mkutano wa
kampeni katika Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro jana Septemba 6, 2015.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mweka Hazina wa CCM mkoa wa
Morogoro Ndg. Hassan BAntu alipokwenda kuwapa pole majeruhi walioumia
katika mlango wa kutokea nje baada ya mkutano wa kampeni katika Uwanja
wa Jamhuri mjini Morogoro jana Septemba 6, 2015.
Mmoja
wa majeruhi Bw. Kokoliko Ramadhani akiwa kitandani pake hospitalini
hapo akiuguza bega la kuume aliloumia kwenye msongamano huo
Rais
Kikwete akimpa pole mmoja wa majeruhi Bw. Kokoliko Ramadhani akiwa
kitandani pake hospitalini hapo akiuguza bega la kuume aliloumia kwenye
msongamano huo
Rais
Kikwete na Mama Salma Kikwete wakimpa pole mmoja wa majeruhi Bi Flora
Maduka akiwa kitandani pake hospitalini hapo baad ya kujeruhiwa katika
msongamano huo
Rais
Kikwete akimpa pole mmoja wa majeruhi Bi. Jalia Mohamed akiwa
kitandani pake hospitalini hapo akiuguza bega la kuume aliloumia kwenye
msongamano huo
Rais Kikwete akiendelea kutoa pole kwa majeruhi
"Pole sana...." Rais Kikwete akimfariji mmoja wa majeruhi
Rais
Kikwete alitumia wasaa huo kuwapa pole wagonjwa wengine waliokuwa
wamelazwa wodi moja na majeruhi hao. Hapa anamfariji mtoto aliyeungua
kwa moto
Rais Kikwete alitumia wasaa huo kuwapa pole wagonjwa wengine waliokuwa
wamelazwa wodi moja na majeruhi hao. Hapa anamfariji mtoto aliyevunjika
mguu wakati akicheza kwenye mti
Rais
Kikwete akimpa pole mvulana ambaye aligongwa na gari wakati akielekea
kumsikiliza mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Dkt John Pombe Magufuli
katika mkutano wa kampeni Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro jana
Rais Kikwete alipata fursa ya kutembelea wodi ya watoto na kuwapa pole kwa kuumwa kwao
Rais Kikwete akiongea na wanafunzi waliokuwepo hospitalini hapo kumtembelea mgonjwa
Rais Kikwete alizongwa na wananchi waliokuwa na hamu ya kuongea naye
Rais
Kikwete akitoa mapendekezo ya kupanua hospitali hiyo ambayo ina eneo
kubwa lakini majengo machache ya chini. Alipendekeza uongozi wa
hospitali na mkoa ubuni namna ya kuipanua kwa kujenga majengo ya ghorofa
ili kuwepo na wodi na sehemu nyingi zaidi za huduma.
Mwishoni
Rais Kikwete aliongea na wanahabari wa kutoka vyombo mbalimbali na
kueleza masikitiko yake kwa yaliyotokea jana Uwanja wa Jamhuri baada ya
mkutano wa kampeni kumalizika.
Rais
Jakaya Kikwete akiongea na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya
Mkoa wa Morogoro Dkt. Ritha Lyamuya baada ya kuwajulia hali majeruhi wa
msongamano baada ya mkutano wa kampeni uwanja wa Jamhuri Morogoro jana.
PICHA NA IKULU
MAGUFULI KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI KISAYANSI
Mgombea
wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akisoma bango la
vijana wafanya biashara ndogo ndogo wa eneo la Dumila maarufu kama Feri
wakati akielekea mkoani Tanga ikiwa muendelezo wa mikutano ya kampeni za
CCM .
Wananchi wanaoishi eneo la Dumila wakimsikiliza Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuliakimnadi mgombea wa ubunge jimbo la Mvomero Sadiq Murad kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika Mvomero, mkoani Morogoro.
Wanachama wa CCM wakionyesha mabango ya mgombea wao wa Ubunge Ndugu Sadiq Murad kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Kihalawa,Turiani mkoani Morogoro.
Mzee Yusuph Makamba akihutubia wakazi wa Turiani mkoani Morogoro kwenye mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea wa CCM pamoja na sera za CCM kwa wananchi wa Turiani.
Kikundi cha akina mama wahamasishaji kikiingia uwanjani kwenye eneo la mkutano wa kampeni za CCM Turiani ambapo Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli alihutubia.
Wazee wa Turiani wakimsikiliza kwa makini Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuliakihutubia wakazi wa Turiani mkoani Morogoro na kuwaambia atahakikisha migogoro ya ardhi inamalizika na kuileta jamii kuishi kwa amani na upendo.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuliambapo aliwaambia wananchi hao ataunda baraza dogo la mawaziri lakini pia atahakikisha barabara zinakamilika kwa kiwango cha Lami.
Wakazi wa Turiani mkoani Morogoro wakimsikiliza Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufulikwenye mkutano wa kampeni.
Wananchi wakiinua mikono kuonyesha kukubaliana na Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akimkabidhi ilani ya uchaguzi mgombea ubunge wa jimbo la Mvomero Ndugu Sadiq Murad.
Mama akifurahia jambo kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika Turiani mkoani Morogoro.
Wakazi wa Kwaluguru wakimsubiri Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli afike na kuwasalimu wakazi hao.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akimnadi mgombea ubunge jimbo la KilindiOmari M. Kigua wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika Kwaluguru.
Wakazi wa kijiji cha Bandari kata ya Kimbe wakimsikiliza Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli.
Wakazi wa Songe wakifurahia ujio wa Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Songe ambapo aliwaambia wananchi hao katika uongozi wake atasimamia haki kwa wananchi wote na kuhakiisha huduma zote za msingi zinapatikana.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Kibirashi
Msafara wa Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli ukiwasili Kwediboma.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuliakihutubia wakazi wa Kwediboma.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli(katikati) akiwanadi Mbunge wa Handeni Mjini Dk. Abdallah Kigoda (kulia) na Mgombea wa Ubunge Jimbo la Handeni Vijijini Ndugu Mboni Mhita kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uliofanyika kwenye uwanja wa Azimio Center.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akimkabidhi mgombea wa ubunge jimbo la Handeni mjini Dk. Abdallaha Kigoda.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akimnadi mgombea wa ubunge jimbo la Handeni Vijijini Ndugu Mboni Mhita.
Wananchi wa Handeni wakishangilia jambo kwenye mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Azimio Center mkoani Tanga.
Wananchi wanaoishi eneo la Dumila wakimsikiliza Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuliakimnadi mgombea wa ubunge jimbo la Mvomero Sadiq Murad kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika Mvomero, mkoani Morogoro.
Wanachama wa CCM wakionyesha mabango ya mgombea wao wa Ubunge Ndugu Sadiq Murad kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Kihalawa,Turiani mkoani Morogoro.
Mzee Yusuph Makamba akihutubia wakazi wa Turiani mkoani Morogoro kwenye mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea wa CCM pamoja na sera za CCM kwa wananchi wa Turiani.
Kikundi cha akina mama wahamasishaji kikiingia uwanjani kwenye eneo la mkutano wa kampeni za CCM Turiani ambapo Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli alihutubia.
Wazee wa Turiani wakimsikiliza kwa makini Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuliakihutubia wakazi wa Turiani mkoani Morogoro na kuwaambia atahakikisha migogoro ya ardhi inamalizika na kuileta jamii kuishi kwa amani na upendo.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuliambapo aliwaambia wananchi hao ataunda baraza dogo la mawaziri lakini pia atahakikisha barabara zinakamilika kwa kiwango cha Lami.
Wakazi wa Turiani mkoani Morogoro wakimsikiliza Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufulikwenye mkutano wa kampeni.
Wananchi wakiinua mikono kuonyesha kukubaliana na Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akimkabidhi ilani ya uchaguzi mgombea ubunge wa jimbo la Mvomero Ndugu Sadiq Murad.
Mama akifurahia jambo kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika Turiani mkoani Morogoro.
Wakazi wa Kwaluguru wakimsubiri Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli afike na kuwasalimu wakazi hao.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akimnadi mgombea ubunge jimbo la KilindiOmari M. Kigua wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika Kwaluguru.
Wakazi wa kijiji cha Bandari kata ya Kimbe wakimsikiliza Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli.
Wakazi wa Songe wakifurahia ujio wa Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Songe ambapo aliwaambia wananchi hao katika uongozi wake atasimamia haki kwa wananchi wote na kuhakiisha huduma zote za msingi zinapatikana.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Kibirashi
Msafara wa Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli ukiwasili Kwediboma.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuliakihutubia wakazi wa Kwediboma.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli(katikati) akiwanadi Mbunge wa Handeni Mjini Dk. Abdallah Kigoda (kulia) na Mgombea wa Ubunge Jimbo la Handeni Vijijini Ndugu Mboni Mhita kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uliofanyika kwenye uwanja wa Azimio Center.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akimkabidhi mgombea wa ubunge jimbo la Handeni mjini Dk. Abdallaha Kigoda.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akimnadi mgombea wa ubunge jimbo la Handeni Vijijini Ndugu Mboni Mhita.
Wananchi wa Handeni wakishangilia jambo kwenye mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Azimio Center mkoani Tanga.
UONGOZI WA CHADEMA WILAYA YA KILOSA WAJIUNGA NA CCM
Viongozi watatu wa Chadema wilaya ya Kilosa na mwanachama mmoja
wametangaza kujiunga rasmi na CCM baada ya kuchoshwa na siasa za Chadema
ambazo wameona hazina haki.
Viongozi hao waliohamia CCM ni aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Wilaya
ya Kilosa Ndugu Selemani Simba, Katibu wa Chadema wilaya hiyo Ndugu
Ibrahim Abdallah Selemani, aliyekuwa Katibu wa Jimbo la Kilosa Kati
Mussa Ngongo na aliyejitambulisha kama mwanachama kiherehere wa Chadema
Bi.Oliver Mollel.
Viongozi hao walitangaza kukihama chama cha Chadema kwenye mkutano wa
hadhara wa kampeni za CCM mbele ya mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John
Pombe Magufuli kwenye uwanja wa Kilosa town.
MAGUFULI AITEKA MOROGORO MKUTANO WAKE WAWEKA HISTORIA
Mgombea
wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiwasili
kwenye uwanja wa Jamhuri tayari kuhutubia wakazi wa Morogoro mjini
kwenye mkutano wa kampeni za CCM.
Wananchi wakimkaribisha Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi wakifurahia ujio wa mgombea wa Urais wa CCM Dk.John Pombe Magufuli.
Mwenyekiti wa CCM ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akizungumza na Mwenyekiti wa CCM Ndugu Innocent Kalogeresi na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Alhaji Abdalla Bulembo kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri.
Mwenyekiti wa CCM ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akizungumza na Mwenyekiti wa CCM Ndugu Innocent Kalogeresi na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Alhaji Abdalla Bulembo kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri.
Wananchi wakiwafurahia wasanii wa Tanzania wanaounda umoja unaofahamika kama Mama Ongea na Mwanao.
Mzee Yusuph Makamba akisalimiana na Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika uwanja wa Jamhuri, kulia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete.
Wananchi wakiwa wamefurika kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro kwenye mkutano wa Kampeni
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Alhaji Abdallah Bulembo akiwahutubia wakazi wa Morogoro mjini kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa Mgombea wa CCM amejitosheleza kuongoza nchi yetu.
Mwenyekiti wa CCM Taifa,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakazi wa Morogoro mjini ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa mchakato wa kumpata Mgombea wa Urais ulikuwa wa haki na kila mjumbe alipiga kura.
Mwenyekiti wa CCM Taifa,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakazi wa Morogoro mjini ambapo aliwaambia wananchi hao hana mashaka na mgombea urais wa CCM na kuwataka wananchi hao kumpigia kura siku ya oktoba 25.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akipanda ngazi za jukwaa kwa kukimbia mbio tayari kwa kuhutubia wakazi wa Morogoro mjini.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Morogoro mjini kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri.
Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika uwanja wa Jahmuri.
Mzee Yusuph Makamba akipanda ngazi za jukwaa tayari kuhutubia wakazi wa mji wa Morogoro.
Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Yusuph Makamba akizungumza na wananchi wa mkoa wa Morogoro wakati wa mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea wa urais kupitia chama hicho Dk. John Pombe Magufuli uliofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Yusuph Makamba akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea wa urais kupitia chama hicho Dk. John Pombe Magufuli uliofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Wananchi wakimkaribisha Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi wakifurahia ujio wa mgombea wa Urais wa CCM Dk.John Pombe Magufuli.
Mwenyekiti wa CCM ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akizungumza na Mwenyekiti wa CCM Ndugu Innocent Kalogeresi na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Alhaji Abdalla Bulembo kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri.
Mwenyekiti wa CCM ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akizungumza na Mwenyekiti wa CCM Ndugu Innocent Kalogeresi na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Alhaji Abdalla Bulembo kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri.
Wananchi wakiwafurahia wasanii wa Tanzania wanaounda umoja unaofahamika kama Mama Ongea na Mwanao.
Mzee Yusuph Makamba akisalimiana na Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika uwanja wa Jamhuri, kulia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete.
Wananchi wakiwa wamefurika kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro kwenye mkutano wa Kampeni
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Alhaji Abdallah Bulembo akiwahutubia wakazi wa Morogoro mjini kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa Mgombea wa CCM amejitosheleza kuongoza nchi yetu.
Mwenyekiti wa CCM Taifa,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakazi wa Morogoro mjini ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa mchakato wa kumpata Mgombea wa Urais ulikuwa wa haki na kila mjumbe alipiga kura.
Mwenyekiti wa CCM Taifa,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakazi wa Morogoro mjini ambapo aliwaambia wananchi hao hana mashaka na mgombea urais wa CCM na kuwataka wananchi hao kumpigia kura siku ya oktoba 25.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akipanda ngazi za jukwaa kwa kukimbia mbio tayari kwa kuhutubia wakazi wa Morogoro mjini.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Morogoro mjini kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri.
Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika uwanja wa Jahmuri.
Mzee Yusuph Makamba akipanda ngazi za jukwaa tayari kuhutubia wakazi wa mji wa Morogoro.
Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Yusuph Makamba akizungumza na wananchi wa mkoa wa Morogoro wakati wa mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea wa urais kupitia chama hicho Dk. John Pombe Magufuli uliofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Yusuph Makamba akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea wa urais kupitia chama hicho Dk. John Pombe Magufuli uliofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI































































No comments:
Post a Comment