airport jogging

mavazi

aus521

aus9

Tuesday, September 1, 2015

MGANGA ANUSURIKA KUUAWA KISA, FUMANIZI


Mganga huyo baada ya kufumaniwa.
Na Victor Bariety, Geita 
MWANAUME mmoja mkazi wa mtaa wa Mkoani kata mpya ya Bombambili wilayani Geita, mkoani Geita ambaye ni mganga wa kutibu mifupa ya binadamu iliyovunjika, amenusurika kifo baada ya kufumaniwa akidaiwa kufanya mapenzi na mke wa mtu.

No comments:

Post a Comment